Mbowe akwamisha kesi ya viongozi wa CHADEMA
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=i0tXWG58X88
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesababisha kuahirishwa kwa kesi inayowakabili viongozi wa chama hicho kwenye mahakama ya Kisutu baada ya kuugua na kulazimika kupelekwa nchini Afrika Kusini kwa matibabu.
Other Videos By Azam TV
Tags:
CHADEMA
Freeman Mbowe
Mbowe matibabu Afrika Kusini
Kesi CHADEMA Kisutu
Mwenyekiti CHADEMA