Abiria wa treni walalamikia ubora wa huduma, kukwamishwa njiani

Channel:
Subscribers:
2,630,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=7ejszoYrAZo



Duration: 2:05
541 views
2


Baadhi ya abiria miongoni mwa wasafiri zaidi ya 800 waliokuwa wakitumia usafiri wa treni wameutupia lawama uongozi wa shirika la reli (TRC) kwa kuachwa njiani kwa zaidi ya saa 10 bila huduma muhimu baada ya treni waliyokuwa wakisafiria kukwama njiani kutokana na kuziba kwa reli.







Tags:
Usafiri wa treni
TRC
Tanzania Railway Corporation
Reli Dodoma
Shirika la reli