HABARI - AZAM TV 1/11/2018
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=hlN3CheNM1A
Rais John Magufuli akataa kutenga fedha kwa ajili ya mchakato wa Katiba Mpya asema bado kuna huduma za jamii zinahitaji fedha hizo na Waziri Mkuu, Majaliwa amaliza mgogoro wa miaka mitano kiwanda cha chai Tanga.
Kwa hayo na mengine mengi ungana na Azam News ukiwa na Charles Hilary na Ivona Kamuntu.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam News
John Magufuli
Rais Magufuli
Siasa
Maisha
Mgogoro wa kiwanda
elimu
mimba za utotoni