NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Kaduguda aeleza siasa ilivyoharibu soka la Afrika Mashariki

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=ZnMj9IJfzJs



Duration: 57:37
5,123 views
34


Ni kiongozi wa zamani wa soka, aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Simba, pia akawa Katibu Mkuu wa FAT (sasa TFF) na kwa sasa ni mwalimu katika shule ya Sekondari, Jitegemee, ya Jijini dar es Salaam.

Anaitwa Mwina Kaduguda, mzaliwa wa mkoa wa Kigoma, ndiye aliyekuwa mgeni kwenye kipindi cha Alhamisi hii ya Septemba 6, 2018.

Afunguka kuhusu kilichompa jina la Simba wa Yuda huku akisisitiza kuwa hajutii licha ya kuwa kilileta tasiwra mbaya kwenye soka la Tanzania.

Asema yeye hawezi kuacha mke, huku akifafanua sababu “Mke wangu akitaka kuniacha kwenda kwa mwanaume mwingine, namruhusu”.

Akumbushia siasa za soka la Tanzania enzi za FAT wakati yeye akiwa kiongozi.

Afunguka kuhusu umahiri wake kweny ufundishaji wa somo la Kiingereza.

Aeleza jinsi alivyoichumba historia ya klabu ya Simba ikimchukua miaka saba kuandika kitabu maalum cha historia ya klabu hiyo.

Asema yeye ndiye aliyekifanya Chama cha Waandishi wa habari za Michezo (TASWA) kitambulike kimataifa licha ya kupigwa zengwe.

Kipindi cha Nyundo ya Baruan Muhuza ni kila Alhamisi saa 1:00 usiku, Azam Sports 2.




Other Videos By Azam TV


2018-09-07HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018
2018-09-07Taifa Stars kesho ugenini kukabiliana na Uganda
2018-09-07Rais Magufuli atema chehe Mkoani Mara
2018-09-07Manara awataka mashabiki wa Simba kuiunga mkono Taifa Stars
2018-09-07Lukuvi: Wakazi waliovamia eneo la mwekezaji kutobomolewa
2018-09-07Jeshi ladaiwa kushusha kipigo kwa wavuvi fukwe ya Kunduchi
2018-09-07Bunge lawajia juu wabunge watoro, lawakata posho zao
2018-09-07Mgambo waliomshambulia mkazi wa Bunju wakana shitaka
2018-09-07Benki ya Dunia yaipa Tanzania mkopo wa Trilioni 1. 8
2018-09-07YANGA TV: Uongozi wa Yanga watoa kauli sakata la kiungo wake kufungiwa na FIFA (Ep. 13)
2018-09-07NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Kaduguda aeleza siasa ilivyoharibu soka la Afrika Mashariki
2018-09-07Kipa Singida United: Napenda sana kuhonga (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-07JPM amuonya Mwenyekiti CCM wilaya kupiga kelele kwenye mitandao
2018-09-07Thobias Kifaru alivyohusika kutoa jina la ‘Mtibwa Sugar’, asimulia chimbuko lake (MAKALA - TPL)
2018-09-07Hii ndiyo morali ya wachezaji Mbao FC a.k.a Burnley msimu huu (MAKALA – TPL 2018/19)
2018-09-07Nilipotangazwa nimeshinda kuwa Rais, niliumia – Rais Magufuli
2018-09-07DC aponea chupuchupu kutumbuliwa na JPM
2018-09-07Rais Magufuli: Siku mkinifukuza CCM nitaenda Chato nikachunge Mbuzi
2018-09-07Uhaba wa maji safi yawatesa wananchi Tunduma
2018-09-07Wananchi Arusha wapata maji yenye tope, RC Gambo aingilia kati
2018-09-07BUNGENI: Dakika 12 wabunge wakimkaba koo Waziri Mwijage, sakata la sukari.



Tags:
Nyundo
Nyundo ya Baruan Muhuza
michezo
soka
Azam TV
Soka la Tanzania
Kaduguda
Mwina Kaduguda
Simba
Yanga
FAT
TFF
Tanzania
Baruan
historia ya Simba
kitabu
siasa na soka