Bao la Heritier Makambo; Yanga SC 1-0 Lipuli FC (TPL - 30/10/2018)

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=juWaPh80cWc



Duration: 1:04
15,189 views
38


Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania Bara Yanga SC wameendeleza rekodi ya ushindi kwenye Dimba la Taifa Dar es salaam, safari hii wakiichapa Lipuli FC bao 1-0.

Bao pekee la yanga limetiwa nyavuni na mshambuliaji wake Heritier makambo dakika ya 10 akimalizia pasi safi ya Mrisho Ngasa baada ya makossa ya beki wa Lipuli.

Goli hili hapa







Tags:
Tanzania Premier League
Soka
soccer
football
Tanzania
michezo
ligi
ligi kuu
Azam
Azam TV
Azam TV App
Goli
bao
magoli
mabao
goals
Yanga
Yanga vs Lipuli
Lipuli FC
Makambo