Aliyembaka binti yake na kumsababishia ujauzito ahukumiwa miaka 30 jela
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=S8ENQKqsNqU
Mahakama Kuu kanda ya Tabora leo imemhukumu kwenda Jela miaka Thelathini, Sadick Jafary aliyetiwa hatiani kwa kumbaka binti yake mwenye umri wa miaka kumi na sita na kisha kumsababishia ujauzito.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam TV App
Azam TV Habari
Habari
Ubakaji