Tanzania yapatahofu kuitambua jamii ua Wakamba
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=T5zicGKUTs0
Licha ya jamii ya Wakamba wanaoishi katika vijiji vya Kibanda Hasara na Kwamandara katika mpaka wa Tanzania na Kenya upande wa Holili kudai kuwa ni watanzania lakini serikali katika wilaya ya Rombo imepata hofu kuwatambua.
Inadaiwa kuwa Wakamba hao wamekuwepo katika maeneo hayo tangu mwaka 1972 na wamekuwa hawajulikani rasmi kama ni raia wa Kenya au Tanzania.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam TV Habari
Habari
Rose Mrutu
Raymond Nyamwihula
vijiji vya Kibanda Hasara na Kwamandara
paka wa Tanzania na Kenya upande wa Holili
jamii ya wakamba