Wananchi kuanza kujipima wenyewe VVU, sheria kufanyiwa marekebisho
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=rvXe3LN4kWs
Serikali iko katika mchakato wa kufanya mabadiliko ya sheria ya ukimwi ili iruhusu wananchi kujipima wenyewe na tayari imekwishapeleka mapendekezo yake kwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Waziri wa afya Ummy Mwalim amesema hayo leo bungeni jijini Dodoma , kufuatia swali la Mbunge wa viti maalum wa CHADEMA Suzan Lyimo aliyetaka kujua kwa nini sheria hairuhusu mtu kujipima mwenyewe nyumbani kama ilivyo katika baadhi ya nchi?
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam Tv
Azam TWO
Azam Sports2
Azam TV habari
habari Azam Tv
kutoka bungeni
Bunge la Tanzania
Maswali kutoka bungeni
Wabunge
Spika wa Bunge la Tanzania
Kipindi cha maswali na majibu kutoka bungeni
Ukimwi
Wananchi kujipima VVU