Rushwa 'yamtibua' DC Sabaya
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=pcwsPLEPKco
Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amewambia watumishi wa halmashauri hiyo kuwa ni fedheha kubwa kwa wilaya ya Hai kuendelea kuongoza kwa vitendo ambavyo vinaathiri ustawi wa maendeleo. Amewataka watumishi wa halmashauri hiyo kukomesha vitendo vya rushwa miongoni mwao.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam Tv
Azam TWO
Azam Sports2
Azam TV habari
habari Azam Tv
Rushwa
Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya