Mabua ya mahindi yawa ‘lulu’ Kilimanjaro
Channel:
Subscribers:
2,630,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=rKnQ38kpNAE
Mkoani Kilimanjaro biashara ya majani ya kulisha mifugo inazidi kushamiri kutokana na ongezeko la wafugaji wa kisasa wenye ng'ombe wachache wanaowafuga majumbani mwao.
Mkoa huo una ng'ombe wa maziwa wapatao Laki mbili na arobaini wanaotoa lita milioni 140 kwa mwaka.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam Tv
Azam TWO
Azam Sports2
Azam TV habari
habari Azam Tv
ufugaji wa ng'ombe kilimanjaro
Mkoa wa Kilimanjaro